Search This Blog

Tuesday, January 28, 2020

NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA KWENYE BLACK HISTORY MONTH HAMBURG,UJERUMANI


Bendi ya maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya  “The Ngoma Africa Band”
aka FFU-Ughaibuni alimaarufu pia kwa majina ya utani kama viumbe wa ajabu
“Anunnaki Aliens” bendi inayoongozwa na mwanamuziki nguli kamanda Ras Makunja yenye maskani nchi Ujerumani, bendi hiyo inatarajiwa kutumbuiza katika onyesho kubwa la kufungua mwezi wa Black History Month yatakayofanyika jijini Hamburg siku ya jumamosi tarehe 1 February 2020 katika ukumbi wa Grunspan. Ngoma Africa Band imeweka rekodi ya kuwa bendi ya muziki ya kigeni inayodumu kwa miaka 27 barani ulaya na katika mmajukwaa ya kimataifa ,ilianzishwa mwaka 1993 ka kiongozi wake kamanda Ras Makunja.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...