Pichani Queen Haizel mwimbaji wa Ghana katika interview mpya amewaacha watu midomo wazi kwa kufunguka kuwa kuanzia sasa muda wowote ataziteketeza sehemu zake nyeti ili asahau kabisa issue za mapenzi kusudi ajikite vizuri Kwenye kazi zake za muziki akidai zimekuwa kikwazo kwa maendeleo yake. Amesema ataenda nje ya nchi kwa miezi miwili kufikia lengo hilo la kuzikata
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment