Search This Blog

Sunday, January 26, 2020

Mwendelezo: Kifo cha Kobe Bryant...Binti yake Bia Amefariki Dunia



Taarifa mpya zinabainisha binti wa wa #KobeBryant, Gianna Maria Onore(13) ni mmoja kati ya waliopoteza maisha kwenye ajali ya Helikopta iliyotokea huko California, Marekani

Wawili hao na watu wengine 3 wamepoteza maisha ktk ajali hiyo

#RIPKobeBryant


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...