Search This Blog

Tuesday, January 7, 2020

Moto wateketeza jengo la ghorofa tatu

Na James Timber, Mwanza



Jengo lenye ghorofa tatu liliopo maeneo ya Isamilo katika wilaya ya Nyamagana mkoani hapa, limeteketea kwa moto Majira kati ya saa 12 jioni, huku chanzo kikiwa hakijajulikana.

Hata hivyo hadi kufifia kwa moto huo hakuna mtu yeyote  anayeripotiwa kuathirika na moto huo, huku baadhi ya mashuhuda wakazi wa jirani wa jengo hilo wamesema kuwa zimamoto walifika mapema na kusubiri TANESCO, jambo lilopelekea kuongezeka kwa moto huo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...