Polisi Mkoani Rukwa wanamshikilia Mwanamke mmoja (52) Mkazi wa Kijiji cha Kaengesa, Sumbawanga kwa madai ya kumuua Mumewe Satiruni Sapo(58) kwa kipigo akimtuhumu kunywea pombe fedha walizokuwa wametunza ili zitumike kupalilia shamba.
"Alitumia kipande cha mti kumpiga akaumia na kukimbizwa Hospitali lakini akafariki wakati anapatiwa matibabu, Mtuhumiwa amekiri kosa wakati tunamuhoji na atafikishwa Mahakamani"- Justine Masejo, RPC Rukwa
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment