Search This Blog

Sunday, January 26, 2020

Mke mbaroni kwa kumuua mumewe kisa pombe

Polisi Mkoani Rukwa wanamshikilia Mwanamke mmoja (52) Mkazi wa Kijiji cha Kaengesa, Sumbawanga kwa madai ya kumuua Mumewe Satiruni Sapo(58) kwa kipigo akimtuhumu kunywea pombe fedha walizokuwa wametunza ili zitumike kupalilia shamba.

"Alitumia kipande cha mti kumpiga akaumia na kukimbizwa Hospitali lakini akafariki wakati anapatiwa matibabu, Mtuhumiwa amekiri kosa wakati tunamuhoji na atafikishwa Mahakamani"- Justine Masejo, RPC Rukwa

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...