Search This Blog

Thursday, January 23, 2020

Mbosso Ndani ya Simanzi Nzito BAADA ya Kumkumbuka Marehemu Mpenzi Wake..Diamond na Romy Jons Wamfariji


Kupitia 'Account' yake ya SnapChat, @mbosso aweka picha ya marehemu mpenzi wake na kuandika jumbe ambayo imeashiria simanzi yake.

Kaandika maneno katika lugha ya kiingereza yenye maana "Lini nitakuona tena" na kuweka 'Emoji' yenye ishara ya maumivu.

Mwanamuziki DiamondPlatnumz & RomyJons wampa faraja na kumwambia awe ni mwenye subira katika hili.

Marehemu Martha alifariki hapo mwaka jana, wawili hao walidaiwa kuzaa pamoja licha ya kuficha mahusiano yao ambapo @mbosso_ alinyimwa mtoto aliyedai wake kwa ndugu kusema kuwa marehemu hakuweka wazi juu ya hilo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...