Search This Blog

Wednesday, January 29, 2020

KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI YA MBEZI LUIS,UBUNGO

Wafanya biashara mbalimbali wakiwa katika Makutano ya Barabara ya Morogoro na Goba Mbezi Luis wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wakiwasubiri wateja wanaotoka sehemu mbalimbali za jiji kununua mahitaji yao kama inavyoonekana pichani.(Picha na Emmanuel Massaka Michuzi Tv)

Wafanya biashara wakisubiri wateja .  
Vijana wa Bobadoba  wakiwa katika kituO cha Mabasi cha Mbezi Luis  wilaya ya Ubungo  jijini Dar es Salaam wakisubiri wateja kama wanvyoonekana pichani)


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...