George Mbuga, Mkazi wa Urambo Mkoani Tabora amefikishwa Mahakamani na kusomewa mashtaka ya uhujumu uchumi baada ya kujisingizia amefariki Dunia ili alipwe mafao yake kwa mkupuo.
Mbuga baada ya kustaafu alipaswa kulipwa fedha kwa awamu tano tofauti lakini alitumia njia ya mkato na kula njama na wenzake akiwemo Mtumishi wa NSSF na kujifanya amefariki.
Mbuga na wenzake wanne wanashtakiwa kwa makosa manane likiwemo la kuandikisha tukio la kifo kutoka Ofisi ya Kitongoji na kuzipeleka Document kwa Msajili wa Vizazi na Vifo wakiambatanisha na muhtasari feki wa kikao cha Ndugu wa Marehemu huyo feki.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment