Katika ripoti yake mpya Forbes imesema Mfanyabiashara wa Nigeria Aliko Dangote ameendelea kuwa Bilionea No.1 Afrika akiwa na utajiri wa USD Billion 10.1 ( Trilion 23.31 za Kitanzania) licha ya kwamba na yeye utajiri wake umepungua kutoka Billion 10.3 (Trilion 23.78) mwaka jana.
Search This Blog
Friday, January 17, 2020
Huyu Hapa Bilionea Number Moja Afrika..Ripoti ya Forbes Yamtangaza
Katika ripoti yake mpya Forbes imesema Mfanyabiashara wa Nigeria Aliko Dangote ameendelea kuwa Bilionea No.1 Afrika akiwa na utajiri wa USD Billion 10.1 ( Trilion 23.31 za Kitanzania) licha ya kwamba na yeye utajiri wake umepungua kutoka Billion 10.3 (Trilion 23.78) mwaka jana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment