Search This Blog
Thursday, January 30, 2020
Chama cha Mapinduzi (CCM) Kumhoji Kangi Lugola
Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara kitamhoji aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola baada ya kutuhumiwa kuhusika katika mkataba wenye harufu ya ufisadi uliosababisha Rais John Magufuli kutengua uteuzi wake.
Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mara, Samwel Kiboye amesema Lugola ambaye ni mbunge wa Mwibara atahojiwa na kamati ya maadili ya CCM mkoani humo.
Amesema Lugola kuhojiwa hakuhusiani na na taarifa ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ambayo itamhoji kesho Ijumaa Januari 31, 2020.
Kiboye amesema vitendo vinavyodaiwa kufanywa na Lugola vimemfedhehesha Rais Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment