Search This Blog
Friday, January 10, 2020
Aliyembagua Balotelli Kafungiwa Miaka Mitano
Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 38 amefungia kwa miaka mitano kutohudhuria shughuli yoyote ya kimichezo, baada ya kukutwa na hatia ya kumbagua mshambuliaji wa Brescia Mario Balotelli.
Katika tukio hilo lililotokea November 3 2019 limetolewa maamuzi jana, ikiwa Polisi wa Verona wamepitia na kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na ubaguzi huo uliofanya Balotelli akamate mpira ukiwa mchezoni na kuupiga nje.
Kitendo cha kuupiga nje mpira Balotelli na kutishia kususia mchezo kulifanya mchezo huo kusimama kwa dakika kadhaa kabla ya Balotelli kushawishiwa ma kuendelea na mchezo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment