Search This Blog

Friday, December 27, 2019

Zambia: Watu 21 wafa kwa ajali za Barabarani kipindi cha Krismasi


Watu wapatao 21 wamepoteza maisha na wengine 22 kujeruhiwa kutokana na ajali za barabara nchini Zambia katika kipindi cha Krismasi mwaka huu.

Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa msemaji wa naibu wa polisi nchini humo Rae Hamoonga aliyoitoa hapo jana mbele ya wanahabari.

Kwa mujibu wa Rae, idadi ya watu waliofariki na kujeruhiwa imeongezeka kutoka 13 hadi 22 kuzidi idadi ya mwaka uliopita wa 2018. Idadi ya ajali za barabarani wakati huu wa Krismasi pia imeongezeka kutoka 125 mnamo mwaka 2018 hadi 139 kwa mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...