Search This Blog
Friday, December 27, 2019
Zambia: Watu 21 wafa kwa ajali za Barabarani kipindi cha Krismasi
Watu wapatao 21 wamepoteza maisha na wengine 22 kujeruhiwa kutokana na ajali za barabara nchini Zambia katika kipindi cha Krismasi mwaka huu.
Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa msemaji wa naibu wa polisi nchini humo Rae Hamoonga aliyoitoa hapo jana mbele ya wanahabari.
Kwa mujibu wa Rae, idadi ya watu waliofariki na kujeruhiwa imeongezeka kutoka 13 hadi 22 kuzidi idadi ya mwaka uliopita wa 2018. Idadi ya ajali za barabarani wakati huu wa Krismasi pia imeongezeka kutoka 125 mnamo mwaka 2018 hadi 139 kwa mwaka huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment