Search This Blog

Monday, December 30, 2019

Yanga yamalizana na mshambuliaji wa Ivory Coast, Ruksa kuivaa Simba


Klabu ya Yanga SC imekamilisha Usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast, Yikpe Gislain Gnamien kwa mkataba wa miaka miwili Kama mchezaji huru.

“Tayari ameshapewa kibali na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) na yupo kwenye hesabu za kuivaa Simba, Januari 4,2020,” ilieleza taarifa hiyo kutoka ndani.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...