Search This Blog
Monday, December 30, 2019
Yanga yamalizana na mshambuliaji wa Ivory Coast, Ruksa kuivaa Simba
Klabu ya Yanga SC imekamilisha Usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast, Yikpe Gislain Gnamien kwa mkataba wa miaka miwili Kama mchezaji huru.
“Tayari ameshapewa kibali na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) na yupo kwenye hesabu za kuivaa Simba, Januari 4,2020,” ilieleza taarifa hiyo kutoka ndani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment