Search This Blog
Thursday, December 26, 2019
Wasudan Washerehekea Krismasi Baada ya Miaka 70
Kwa mara ya kwanza Serikali ya Sudan imeruhusu sikukuu ya Krismasi kuadhimishwa nchini humo baada ya miaka sabini.
Siku hiyo imesherehekewa na asilimia tatu ya watu ambao ni wakristo nchini humo huku asilimia 97 ya waliobaki ni waislamu.
Kuruhusu mapumziko ya siku ya Krismasi ni miongoni mwa mabadiliko makubwa ambayo yameanza kuonekana baada ya kuingia madarakani kwa kiongozi mpya, kufuatia kuondolewa kwa Rais wa zamani Omar al-Bashir mwezi Aprili.
Waziri anayeshunghulikia masuala ya dini Nasrudin Mufreh, amesema hatua hiyo imekuja baada ya katiba mpya kuruhusu Uhuru wa kuabudu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment