Search This Blog

Friday, December 6, 2019

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Kwanza 2020 Mkoa Wa Njombe

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga  na Kidato cha Kwanza  mwaka 2020  kuwa ni  701,038 sawa na asilimia 92.27 ya wanafunzi 759,000 waliofaulu.

Bonyeza Hapo Chini Kuona Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mkoa wa Kilimanjaro <<BOFYA HAPA>>


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...