Diwani John Seneu wa kata ya Kiranyi kupitia Chadema, ameweka wazi kuwa wapinzani ambao wamekuwa wakihamahama kwenda CCM wamekuwa wakitafuta huruma za Rais John Magufuli huku akiweka wazi kuwa yeye hatoweza kuhama chama chake. Pia ameongeza kuwa wengi wao wamekuwa wakidai wanatekwa lakini ukweli ni kuwa CCM haiwateki kama unavyozungumzwa.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
No comments:
Post a Comment