Search This Blog

Thursday, December 19, 2019

Tumefungwa Tena na Kenya...Taifa Stars Yashindwa Kutwaa Nafasi ya Tatu Cecafa



Timu ya Taifa ya Tanzania Bara #KilimanjaroStars imefungwa goli 2-1 na timu Taifa ya Kenya #HarambeeStars katika mchezo wa kutafuta Mshindi wa tatu

Mchezo unaofuata ni wa fainali kati ya timu za Uganda na Eritrea 


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...