Search This Blog
Friday, December 6, 2019
TANZIA: Mdogo wa Steven Kanumba, Seth Bosco afariki dunia
Msanii wa Filamu nchini, Seth Bosco amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwao Kimara, Dar es Salaam.
Dada wa Marehemu, Abela amethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Seth Bosco ambaye ni mdogo wake na Marehemu Steven Kanumba alikuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye uti wa mgongo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment