Search This Blog
Saturday, December 21, 2019
PICHA: Liverpool Mabingwa Club Bingwa Dunia
Usiku wa December 21 nchini Qatar ulichezwa mchezo wa fainali ya Michuano ya Club Bingwa Dunia iliyokuwa inazikutanisha timu za Liverpool ya England dhidi ya Flamengo ya Brazil.
Mchezo huo uliolazimika kuchezwa kwa dakika 120 baada ya 90 kumalizika 0-0, uliamuliwa na mchezaji wa Kibrazil Robert Firmino aliyowafunga Flamengo dakika ya 99 na kuipa Ubingwa wa Dunia Liverpool kwa ushindi wa 1-0.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment