Search This Blog
Tuesday, December 24, 2019
NOMA na Nusu...Abiria Wakwama Mlima Kitonga kwa Saa 2
Abiria wanaolekea Mkoa wa Iringa na baadhi ya Mikoa ya jirani wamekwama katika barabara ya Mlima Kitonga kufuatia Lori kupata ajali ya katikati ya barabara hiyo na kupelekea magari kushindwa kusafiri.
Akizungumza na EATV na EA Radio Digital moja ya shuhuda wa ajali Habib Hanta amesema ajali hiyo imetrokea majira ya saa 8 Mchana, na kupelekea na kupelekea adha kubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Aidha amesema mpaka sasa juhudi za kuliondoa Lori hilo ili waanz kupita bado zinaedelea.
Bado tunaendelea kufanya juhudi za kumtafuta RPC wa Mkoa wa Iringa Juma Bwire kwa ajili ya kuzungumzia suala hilo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment