Search This Blog

Monday, December 23, 2019

Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya BOEING Atangaza Kujiuzulu


Dennis Muilenburg amejiuzulu baada ya Kampuni ya Boeing kutangaza kusitisha kwa muda uzalishaji wa ndege aina ya Boeng 737 Max
-
Boeing walichukua uamuzi huo baada ya ndege mbili aina ya 737 Max kupata ajali na kuua watu zaidi ya 300
-
Ndege moja ilianguka nchini Indonesia na nyingine nchini Ethiopia
-
David Calhoun, atachukua nafasi hiyo ya kuwa Mtendaji Mkuu wa Boeing hadi tarehe 13 Januari, 2020 


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...