Search This Blog
Sunday, December 22, 2019
Mtandao wa Wanafunzi Tanzania wajitosa sakata la waliosimamishwa masomo UDSM
Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) umeitaka Bodi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kuwarudisha bila masharti yoyote viongozi halali wa DARUSO waliosimishwa masomo kutokana na kutetea haki za wanafunzi, na kuacha kuwa sehemu ya ukandamizaji na uonevu wa wanafunzi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...





No comments:
Post a Comment