Search This Blog

Monday, December 2, 2019

Msimamo wa Ligi Kuu, Yanga yatinga 10 bora


Yanga wameingia rasmi kwenye10 bora huku Azam FC baada ya sare yao ya juzi dhidi ya JKT, wakiingia 3 bora. Hivi ndivyo msimamo wa ligi unavyoonekana baada ya mechi tatu jana na leo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...