VIDEO:
Search This Blog
Sunday, December 22, 2019
Mnyika Aanza “IGP Sirro Aseme Ukweli “Tito Magoti Hajulikani Alipo, Ametekwa”
Baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa leo December 22, 2019 John Mnyika amezungumza na Waandishi wa habari “Kumetokea matukio ya baadhi ya watu kupotea, ametekwa Tito Magoti baadae Polisi wakasema wanamshikilia, mpaka navyozungumza muda huu Polisi hawajasema wanamshikilia kwa kosa gani, natoa wito kwa Polisi, IGP aseme ukweli”.
VIDEO:
VIDEO:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment