Burna Boy, Diamond Platnumz, Davido, Wizkid, Ray Vanny watamba nominations tuzo za Sound City 2020 nchini Nigeria, Nandy awapa kifua wasanii wa kike Afrika mashariki
Burna Boy amepata nominations 6, huku Diamond Platnumz akipendekezwa katika categories 4 ambazo ni Msanii Bora wa Mwaka Afrika, collabo bora ya mwaka(Inama), msanii bora wa kiume Afrika, na digital artist wa mwaka -
Rayvanny amependekezwa vipengele 3 ambavyo ni Wimbo bora wa mwaka afrika(Tetema), chaguo bora la watazamaji Afrika, na msanii bora wa pop wa mwaka Afrika
Nandy amepata nominations vipengele viwili vya msanii bora wa kike Afrika pamoja na msanii bora wa pop afrika
S2Kizzy anawania tuzo ya producer bora wa mwaka afrika
Harmonize amependekezwa kipengele kimoja cha chaguo la wasikilizaji afrika, Marioo kutoka Tanzania anawania
Msanii bora chipukizi
Kwa upande wa Kenya Otile Brown anawania msanii bora wa pop Afrika Huku Kaligraph Jones akiiwakilisha Afrika mashariki katika kipengele cha msanii bora wa hip hop Afrika -
Tuzo hizo zitafanyika tarehe 11 January nchini Nigeria
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment