Search This Blog
Monday, December 30, 2019
Man United wamuwinda kinara wa mabao Lyon
Pamoja na kuwa Kocha wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer amekosa saini ya kinda Erling Haaland, lakini hajakata tamaa ya kuisuka timu hiyi, na sasa anatupia jicho kusajili mshambuliaji na kiungo.
Hivi sasa timu hiyo inasaka kiungo kwa kuwa haina uhakika kama Paul Pogba atabaki kwenye timu hiyo ama la.
Pia Kocha huyo kwa sasa anamsaka kwa udi na uvumba mshambuliaji wa Lyon, Moussa Dembele, ambaye klabu hiyo imemsaka kwa muda mrefu. Dembele pia anatajwa kuwa mrithi wa Romelu Lukaku aliyetimkia Inter Milan.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment