Search This Blog

Tuesday, December 31, 2019

Magufuli AMPIGIA Simu Diamond Platnumz Katikati ya SHOW Kigoma Asema "Wewe ni Mwanaume"


MAGUFULI AMPIGIA SIMU DIAMOND KATIKATI YA SHOW KIGOMA ASEMA "WEWE NI BABA LAO"

FAHAMU: Usiku wa jana msanii wa muziki Diamond Platnumz alikuwa akitumbuiza katika kusherekea miaka 10 katika muziki wa Bongo Fleva. Wakati akiwa jukwaani alipigiwa simu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dkt John Pombe Magufuli kisha kupongezwa kwa jitihada zake anazofanya katika sanaa na Taifa kwa ujumla. Nimekusogezea video hii itazame kisha nipe maoni yako

VIDEO:



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...