Search This Blog

Sunday, December 8, 2019

LIVE: Sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli anaongoza Maelfu ya Watanzania kusherekea Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Katika historia Tanzania Bara wakati huo ikiitwa Tanganyika ilipata Uhuru wake Disemba 09, 1961.





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...