Search This Blog

Sunday, December 1, 2019

Kocha mwingine atimuliwa Ligi Kuu ya Uingereza

Klabu ya Watford imemfuta kzi kocha wake Quique Sanchez Flores, na hii ni baada ya kudumu kwenye klabu hiyo kwa siku 85 tangia apewe jukumu la ukocha kwa mara ya pili kwenye timu hiyo.

Watford kwa sasa inashika nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...