Klabu ya Watford imemfuta kzi kocha wake Quique Sanchez Flores, na hii ni baada ya kudumu kwenye klabu hiyo kwa siku 85 tangia apewe jukumu la ukocha kwa mara ya pili kwenye timu hiyo.
Watford kwa sasa inashika nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment