Search This Blog
Saturday, December 21, 2019
FIFA Yashusha Neema Tanzania
Shirikisho la soka nchini TFF limesema katika kukuza maendeleo ya soka la Tanzania, FIFA wapo kwenye mpango wa kujenga vituo vya michezo hapa nchini.
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia ameyasema hayo leo kwenye mkutano mkuu wa TFF unaofanyika jijini Dar es salaam, ambao umehudhuriwa na wadau mbalimbali wa mpira.
Rais huyo wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) amesema kuwa FIFA wameahidi kujenga uwanja mmoja hapa nchini.
England kujipima kwa Italia kabla ya Euro 2020
“FIFA wameahidi kujenga uwanja mmoja hapa nchini na tumekubaliana kujenga vituo viwili vya Soka (Technical Centres) kwa maeneo ya Tanga na Kigamboni-Dar es Salaam, ujenzi ambao mchakato wake umeshaanza na mapema mwakani ujenzi utaanza,” amesema Karia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment