Search This Blog
Thursday, December 19, 2019
CHADEMA yamteua John Mnyika kuwa Katibu Mkuu Taifa
Mbunge wa Kibamba, John Mnyika ameteuliwa kuwa Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Viongozi wapya wa Wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024
1. Mwenyekiti - Freeman Mbowe
2. Makamu Mwenyekiti Zanzibar - Said Issa Mohamed
3. Makamu Mwenyekiti Bara - Tundu A.Lissu
4. Katibu Mkuu - John John Mnyika
5. Naibu Katibu Mkuu Bara - Benson S. Kigaila
6. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar - Salum Mwalim
Wajumbe wa Kamati Kuu Taifa
1. John W. Heche
2. Sarah Katanga
3. Gibson Meseiyeki
4. Michael Ahombokile Mwaitenda
5. Patrick Ole Sosopi
6. Grace .S. Kiwelu
7. Suzan L. Kiwanga
8. Yahaya Omary
9. Zeud A. Mvano
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment