Search This Blog
Sunday, December 15, 2019
CECAFA Senior Challenge Yafikia Patamu
Baada ya kuhitimisha hatua ya makundi na kubaki wababe wanne, michuano ya CECAFA Senior Challenge inaingia hatua ya nusu fainali.
Timu mbili zitakazocheza fainali ya mwaka huu zitafahamika Jumanne, Desemba 17, 2019.
Mechi ya kwanza ni mabingwa watetezi, Kenya dhidi ya Eritrea na mechi ya pili ni kipute cha wenyeji Uganda dhidi ya Tanzania Bara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment