Search This Blog
Wednesday, November 13, 2019
Zlatan Ibrahimovic atangaza kuondoka Ligi kuu ya Marekani
Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic amethibitisha kuondoka katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani aliyojiunga nayo Machi 2018.
Zlatan mwenye umri wa miaka 38 anaondoka LA Galaxy akiwa amecheza mechi 56 na kufunga magoli 52.
“Nilikuja, nikaona, nikateka. Ahsante LA Galaxy kunifanya nijihisi hai tena. Kwa mashabiki wa Galaxy - Mlimtaka Zlatan, nikawapa Zlatan. Karibuni. Stori inaendelea....sasa rudini mkaangalie Baseball” - Aliandika Zlatan katika akaunti yake ya Twita.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment