Wanajeshi wa China wametoka jana katika kambi zao mjini Hong Kong na kwenda mitaani kusaidia kuisafisha na kuondoa vifusi na vizuizi vilivyowachwa na waandamanaji.
Lilikuwa tukio lisilo la kawaida kwa Jeshi la China kuingia katika mitaa ya jimbo hilo lenye mamlaka ya ndani, ambalo kushindwa kwa serikali yake kumaliza maandamano yaliyodumu kwa zaidi ya miezi mitano kumezusha uvumi kuwa China huenda ikawatumia wanajeshi wake kisiwani humo.
Serikali ya Hong Kong imesema haikuomba msaada wa jeshi katika shughuli ya usafishaji, ikiielezea kuwa shughuli ya kujitolea ya kijamii. Wengi wa waandamanaji wanaoipinga serikali waliondoka kwenye vyuo vikuu vya Hong Kong baada ya kuvidhibiti kwa karibu wiki moja.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment