Search This Blog

Thursday, November 14, 2019

Thierry Henry Apata Dili la Ukocha Marekani


Thierry Henry amepewa kibarua chukua kocha mkuu wa klabu ya Montreal Impact inayoshiriki ligi kuu ya Marekani MLS.

Henry mwenye miaka 42 aliwahi kuitumikia klabu ya New York Red Bulls kama mchezaji kwa kipindi cha miaka minne na nusu kabla ya kustaafu kucheza soka 2014, amesaini kukinoa kikosi hicho cha Montreal Impact kwa mkataba wa miaka miwili wenye kipengele cha nyongeza ya miezi 12.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...