Search This Blog
Thursday, November 14, 2019
Thierry Henry Apata Dili la Ukocha Marekani
Thierry Henry amepewa kibarua chukua kocha mkuu wa klabu ya Montreal Impact inayoshiriki ligi kuu ya Marekani MLS.
Henry mwenye miaka 42 aliwahi kuitumikia klabu ya New York Red Bulls kama mchezaji kwa kipindi cha miaka minne na nusu kabla ya kustaafu kucheza soka 2014, amesaini kukinoa kikosi hicho cha Montreal Impact kwa mkataba wa miaka miwili wenye kipengele cha nyongeza ya miezi 12.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment