Search This Blog

Wednesday, November 20, 2019

RUSHWA NI ADUI WA HAKI,KATAA KIONGOZI ANAECHAGULIWA KWA RUSHWA

Uchaguzi wa serikalizamitaa unaelekea ukingoni, Wananchi mtakutana na viashiria mbalimbali vya rushwa, mkatae kiongozi anaechaguliwa kwa rushwa, chagua kiongozi asiyependa rushwa, Kanyaga rushwa chagua maendeleo, hata  kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa kataa rushwa tenda haki.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...