ZAMBIA: Ndege ya Proflight ikiwa na abiria 41 jana ilifanikiwa kutua salama jijini Lusaka baada kupigwa na radi na kukumbana na upepo mkali ikiwa angani (19,000ft), ilipokuwa ikitokea Livingstone. Marubani wa ndege hiyo wamepongezwa kwa kuokoa maisha ya abiria.
Search This Blog
Tuesday, November 26, 2019
Ndege Yapigwa Radi Ikiwa Angani...Marubani Wapambana Mpaka Kuishusha
ZAMBIA: Ndege ya Proflight ikiwa na abiria 41 jana ilifanikiwa kutua salama jijini Lusaka baada kupigwa na radi na kukumbana na upepo mkali ikiwa angani (19,000ft), ilipokuwa ikitokea Livingstone. Marubani wa ndege hiyo wamepongezwa kwa kuokoa maisha ya abiria.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment