Search This Blog

Tuesday, November 26, 2019

Nahodha wa Simba John Bocco aenda kutibiwa Afrika Kusini


Nahodha wa Simba John Bocco leo ameondoka nchini kwenda Afrika Kusini kufanyiwa uchunguzi zaidi wa jeraha la misuli linalomsumbua na kumuweka nje ya dimba tangu mwanzoni mwa msimu huu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na klabu hiyo, Bocco amefika salama na tayari ameanza kupatiwa huduma kwenye Hospitali ya Netcare Rosebank iliyoko jijini Johannesburg.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...