Search This Blog

Tuesday, November 5, 2019

Mtibwa Sugar sasa kutumia uwanja wa CCM Gairo


Mtibwa Sugar wataanza kuutumia uwanja wa CCM Gairo uliopo Morogoro kama uwanja wao wa nyumbani kwenye mechi za Ligi kuu Tanzania Bara

Mchezo wa kwanza katika uwanja huo, Mtibwa wanatarajia watacheza dhidi ya Mwadui FC, Mchezo huu utachezwa majira ya saa 10 jioni.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...