Search This Blog
Tuesday, November 5, 2019
Mtibwa Sugar sasa kutumia uwanja wa CCM Gairo
Mtibwa Sugar wataanza kuutumia uwanja wa CCM Gairo uliopo Morogoro kama uwanja wao wa nyumbani kwenye mechi za Ligi kuu Tanzania Bara
Mchezo wa kwanza katika uwanja huo, Mtibwa wanatarajia watacheza dhidi ya Mwadui FC, Mchezo huu utachezwa majira ya saa 10 jioni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...


No comments:
Post a Comment