Search This Blog

Thursday, November 28, 2019

MRADI WA MAJITAKA UNAVYOSAIDIA KUPUNGUZA MAGONJWA YA MLIPUKO

Meneja Miradi ya Jamii (usafi wa mazingira) Bw Charles Makoye  akitoa maelezo kwa Maafisa Afya wa Manispaa za Jiji la Dar es Salaam walipotembelea  Mradi ya Jamii ya  Majitaka katika eneo la Vingunguti na Toangoma wilayani Temeke.Miradi hii imesaidia kupunguza magonjwa ya mlipuko na kujenga ustawi wa maisha ya wakazi wa maeneo tajwa.
Eneo la majitaka 


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...