Search This Blog

Sunday, November 17, 2019

Mambo yakuweka akilini katika maisha



*Mambo yakuweka akilini katika maisha:*

*1. Hata ufanye vizuri namna gani lazima wapo wakukupinga.*

*2. Wapo wanaocheka nawe ila moyoni wanaona kama unafanikiwa mnoo.*

*3. Wapo watakaokuchukia kwasababu haufanyi makosa kama yao, huwezi kuwa rafiki kamwe mpaka umetenda makosa kama yao.*

*4. Lazima utasemwa hata kama wewe ni mwema namna gani.*

*5. Ukicheka wapo wanaonuna wanaona kama unafaidi sanaa.*

*6. Wapo ambao hata uwatendee mema namna gani watalalamika tuu.*

*Shika hayo na wala usiogope hayo yakitokea, usipate hofu wala kudhani una makosa. Hakikisha una amani na usitende dhambi.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...