Search This Blog
Sunday, November 24, 2019
Klabu ya Hilal Al Fasher ya Sudan yapata ajali
Klabu ya soka ya Hilal Al Fasher ya Sudan imepata ajali barabarani asubuhi ya jana ikiwa njiani kwenda kucheza mechi ya ligi.
Taarifa zinasema katika ajali hiyo, kocha msaidizi amefariki dunia huku wachezaji kadhaa na viongozi wa benchi la ufundi wakiwa katika hali mbaya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment