Search This Blog

Sunday, November 24, 2019

Klabu ya Hilal Al Fasher ya Sudan yapata ajali


Klabu ya soka ya Hilal Al Fasher ya Sudan imepata ajali barabarani asubuhi ya jana ikiwa njiani kwenda kucheza mechi ya ligi.

Taarifa zinasema katika ajali hiyo, kocha msaidizi amefariki dunia huku wachezaji kadhaa na viongozi wa benchi la ufundi wakiwa katika hali mbaya.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...