Search This Blog

Monday, November 4, 2019

JAJI KIONGOZI AZUNGUMZA NA MAJAJI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA WALIOAPISHWA LEO

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi akizungumza na majaji wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania, walioapishwa leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama (IJA)-Lushoto (wa pili kushoto) akifafanua jambo kwa majaji wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania walioapishwa leo.(Picha na Magreth Kinabo-Mahakama)


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...