Search This Blog

Tuesday, November 12, 2019

Halima Mdee amaliza adhabu yake, afanyiwa sherehe


Mbunge wa Jimbo la Kawe-Dar es Salaam Mhe. Halima Mdee na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), aliyekuwa nje ya Bunge kwa adhabu ya kutohudhuria mikutano viwili amemaliza adhabu hiyo.

Baada ya adhabu yake kumalizika siku ya jana na kuanza kuhudhuria vikao vya Bunge alifanyiwa sherehe katika hafla iliyoandaliwa na Wanachama wenzake. Halima aliwashukuru wanachama wenzake kwa kuwa naye bega bega tangu alipopewa adhabu hiyo.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...