Search This Blog
Tuesday, November 12, 2019
Halima Mdee amaliza adhabu yake, afanyiwa sherehe
Mbunge wa Jimbo la Kawe-Dar es Salaam Mhe. Halima Mdee na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), aliyekuwa nje ya Bunge kwa adhabu ya kutohudhuria mikutano viwili amemaliza adhabu hiyo.
Baada ya adhabu yake kumalizika siku ya jana na kuanza kuhudhuria vikao vya Bunge alifanyiwa sherehe katika hafla iliyoandaliwa na Wanachama wenzake. Halima aliwashukuru wanachama wenzake kwa kuwa naye bega bega tangu alipopewa adhabu hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...




No comments:
Post a Comment