Search This Blog

Thursday, November 7, 2019

Diamond Atua eneo la shoo Kijitonyama


Mwanamuziki Diamond Platnumz, akiwa na baadhi ya wasanii wa Watakaopafomu shoo ya Wasafi Festival katika viwanja vya Posta Kijitonyama, jijini Dar es salaam. Wasanii hao wamefanya ziara ya kutembelea maeneo mbalimbali leo kuanzia katika ofisi za Star Times na maeneo mengine ya jiji la Dar es salaama na kumalizia kukagua steji ya kimataifa itakayotumika Jumamosi.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...