Search This Blog
Thursday, November 7, 2019
Diamond Atua eneo la shoo Kijitonyama
Mwanamuziki Diamond Platnumz, akiwa na baadhi ya wasanii wa Watakaopafomu shoo ya Wasafi Festival katika viwanja vya Posta Kijitonyama, jijini Dar es salaam. Wasanii hao wamefanya ziara ya kutembelea maeneo mbalimbali leo kuanzia katika ofisi za Star Times na maeneo mengine ya jiji la Dar es salaama na kumalizia kukagua steji ya kimataifa itakayotumika Jumamosi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment