Search This Blog

Wednesday, November 13, 2019

Arsene Wenger ateuliwa FIFA


Kocha wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa maendeleo ya Soka Duniani. (FIFA's chief of global football development).

Rais wa FIFA Gian Infantino amesema anaamini uzoefu na weledi wa Wenger utasaidia katika eneo la Ufundi na Utunzi wa sheria.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...