Search This Blog

Friday, November 1, 2019

Aliyekuwa MISS Gambia Amtuhumu Aliyekuwa RAIS wa Nchi Hiyo Kumbaka


Akiwa mbele ya Kamisheni ya Maridhiano baada ya utawala wa Jammeh kuanguka amesema pia alilazimishwa kumkataa mchumba wake na ahadi ya kuolewa

Yahya Jammeh alishindwa katika Uchaguzi Mkuu lakini alikataa kutoka madarakani hadi Mataifa ya Afrika Magharibi yaliingilia kati na Jammeh kutorokea Guinea Ya Ikweta

Yahya Jammeh aliikimbia nchi hiyo, Januari 2017 ikiwa ni baada ya kukaa madarakani tangu mwaka 1994

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...