Search This Blog

Saturday, October 19, 2019

Zitto Kabwe: Taarifa ya DPP Bado tu? Mbona Kimya Tangu Jana sio Kawaida Yenu


Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe azidi kushikilia bango sakata la kuibiwa kwa kompyuta katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Biswalo Mganga huku akidai mbona kimya hawatoi taarifa tangu jana.

Zitto ambaye ni kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo aliandika ujumbe huo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter kuwa sio kawaida yao kukaa kimya huku akionyeshea video ambayo yupo Rais John Magufuli.

Aliandika ujumbe huu ” Press release ya DPP bado tu? Mbona kimya tangu jana. Sio kawaida yenu. Mtujuze Watanzania ni haki yetu..,? Aliandika Zitto



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...