Search This Blog

Thursday, October 31, 2019

VIDEO: Aggrey Mwanri auwasha moto viongozi wa Hospitali hali tete

\
Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameutaka uongozi wa hospitali ya wilaya ya ya Uyui ifikapo tarehe kumi November mwaka huu iwe imekamilika ili iweze kutoa huduma ka wananchi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...