Search This Blog
Tuesday, October 29, 2019
Umoja wa Mataifa wataja majanga yanayoikumba Afrika
Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) limeangazia majanga ambayo yanakumba bara la Afrika miongoni mwao ukame nchini Zambia na mafuriko ya maji nchini Somalia na Sudan Kusini.
Katibu Mkuu wa shirika hilo Antonio Guterres alisema kuwa Sudan Kusini imeathirika zaidi kutokana na mafuriko tangu mwezi wa Julai. Takriban watu 900,000 wameathirika nchini humo ikiwemo wakimbizi wa ndani na wenyeji.
Zambia kwa upande mwingine imekumbwa na janga la ukame kutokana na ukosefu wa mvua, hali ambayo haijashuhudiwa tangu mwaka wa 1981.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment